RUSHWA HAINA NAFASI KATIKA UTOAJI WA HAKI – DC KHERI

W๐—ฎ๐—ท๐˜‚๐—บ๐—ฏ๐—ฒ ๐—ป๐—ฎ Wa๐˜๐—ฒ๐—ป๐—ฑ๐—ฎ๐—ท๐—ถ ๐˜„๐—ฎ M๐—ฎ๐—ฏ๐—ฎ๐—ฟ๐—ฎ๐˜‡๐—ฎ ๐˜†๐—ฎ A๐—ฟ๐—ฑ๐—ต๐—ถ ๐—ป๐—ด๐—ฎ๐˜‡๐—ถ ๐˜†๐—ฎ K๐—ฎ๐˜๐—ฎ, wametakiwa ku๐˜๐—ฒ๐—ป๐—ฑ๐—ฎ ๐—ต๐—ฎ๐—ธ๐—ถ ๐—ป๐—ฎ ๐—ธ๐˜‚๐—ฒ๐—ฝ๐˜‚๐—ธ๐—ฎ ๐—ต๐—ผ๐—ป๐—ด๐—ผ pindi ๐˜„๐—ฎ๐—ป๐—ฎ๐—ฝ๐—ผ๐—ณ๐—ฎ๐—ป๐˜†๐—ฎ usuluhishi wa migogoro.

Hato yamebainshwa na ๐— ๐—ธ๐˜‚๐˜‚ ๐˜„๐—ฎ ๐—ช๐—ถ๐—น๐—ฎ๐˜†๐—ฎ ๐˜†๐—ฎ ๐—œ๐—ฟ๐—ถ๐—ป๐—ด๐—ฎ, ๐—ž๐—ต๐—ฒ๐—ฟ๐—ถ ๐—๐—ฎ๐—บ๐—ฒ๐˜€ wakat akifungua semina elekezi kwa Wajumbe wa mabaraza ya ardhi Manispaa ya Iringa.

Amesema, rushwa haitakiwi katika utoaji wa haki, huku akiwapa rai kwamba hela za hongo hazitawafikisha popote na kwamba wanatakiwa kujitolea kwa haki.

Kwa upande wake Mwenyekiti wa Baraza la Ardhi na Nyumba la Wilaya ya Iringa, Antigon John amewataka Wananchi kuacha wosia ili kuepuka migogoro na kurahisisha ugawaji wa mali kwa familia.

Naye Mwenyekiti wa Tanganyika Law Society (TLS) Kanda ya Iringa, Moses Ambindwile amesema semina hiyo ni muhimu kutokana na wingi wa migogoro ya ardhi na nyumba inayoshughulikiwa na mabaraza.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *