Rema ateketeza zaidi ya Bil moja kwa kununua magari

Kutoka Mavin Records, staa wa muziki Reama ametukia Zaidi ya Naira Milioni 700 ambazo ni sawa na Zaidi ya Bilioni 1 ya Tanzania kununua gari mbili ambazo ni  G63 G-Wagon na Lamborghini Urus.

Gari hizo amenunua kutoka Polancoexoticcars, na ndio waliyoweka wazi taarifa hizo.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *