Categories

Do you have a Story?

Call us on 0677 644 444 to submit your news story or incident report!

Rema afanya kufuru kwa Malkia

Kutoka Mavin Records, kijana wa miaka 23, Rema anaingia kwenye historia ya kuujaza ukumbi wa O2 Arena huko nchini Uingereza, usiku wa kumkia leo katika shoo yake ya ‘Rema- Ravage Uprising’



Rema anaungana na mastaa kama Davido, Wizkid, Burna Boy, na Asake kuuza tiketi  zipatazo 20,000 na kupelekea ukumbi huo O2 Arena kufurika.

Tamasha la Rema la O2 Arena ni uthibitisho wa hadhi ya nyota tano katika muziki wa Afrobeats, na pia ni tamasha lilojawa upendo kwani alitoa nafasi kwa Ayra Starr pia kukiwasha jukwaani, kama ambavyo pia Burna Boy alivyowahi kufanya juu yake. Hata hivyo unaambiwa siku ya jana pia Burna Boy akiwa na washikaji zake walitulia sehemu kutazama Live shoo ya kijana huko kutoka Benin.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *