RAIS SAMIA KATIKA HAFLA YA UZINDUZI USAMBAZAJI WA MITUNGI YA GESI

Picha: Matukio mbalimbali wakati wa hafla ya uzinduzi wa usambazaji mitungi ya gesi ya kupikia na majiko banifu kwa bei ya ruzuku inayofanyika leo Februari 27, 2025 mkoani Tanga.

Mgeni rasmi ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan ambaye hii leo amezindua ugawaji wa mitungi ya gesi (LPG) kwa Wananchi, ikiwa ni sehemu ya juhudi za Serikali kuhamasisha matumizi ya Nishati Safi ya kupikia.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *