Rais Samia awasili Saudi Arabia

Rais Samia Suluhu amewasili nchini Saudi Arabia kuhudhuria mkutano wa Saudi Arabia na nchi za Afrika unaofanyika jijini Riyadh Novemba 10, 2023, kujadili masuala ya ushirikiano kwenye sekta za biashara, uwekezaji, utalii, kilimo, nishati na madini

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *