Rais Samia Suluhu amewasili nchini Saudi Arabia kuhudhuria mkutano wa Saudi Arabia na nchi za Afrika unaofanyika jijini Riyadh Novemba 10, 2023, kujadili masuala ya ushirikiano kwenye sekta za biashara, uwekezaji, utalii, kilimo, nishati na madini

P. O. BOX 71, Shinyanga, Tanzania
+255 766 408 253
info@jambofm.co.tz