Rais Samia Suluhu Hassan amemteua Gerson Msigwa aliyekuwa Msemaji Mkuu wa Serikali kuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo.

Kwa mujibu wa Taarifa ya Ikulu, nafasi iliyoachwa wazi na Msigwa itatangazwa baadaye



Call us on 0677 644 444 to submit your news story or incident report!
P. O. BOX 71, Shinyanga, Tanzania
+255 766 408 253
info@jambofm.co.tz