Rais Samia Suluhu Hassan amemteua Gerson Msigwa aliyekuwa Msemaji Mkuu wa Serikali kuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo.

Kwa mujibu wa Taarifa ya Ikulu, nafasi iliyoachwa wazi na Msigwa itatangazwa baadaye



P. O. BOX 71, Shinyanga, Tanzania
+255 766 408 253
info@jambofm.co.tz