Platform atambulishwa rasmi Abbah Music

Msanii wa Bongoflava, Platform TZ ametambulishwa rasmi kuwa chini ya CEO Abbah Music ambapo ametambulisha ujio wa Extended Playlist (EP) yake Above and Beyond yenye nyimbo 6 ndani yake lakini pia uongozi huo umemkabidhi zawadi ya Gari aina ya Toyota Crown kutokana na kazi nzuri ambayo amekuwa akiifanya kila siku kwenye muziki wake.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *