PICHA: RAIS SAMIA KATIKA UZINDUZI USAFIRISHAJI MIZIGO KWA TRENI YA SGR KWALA

PICHA: Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt, Samia Suluhu Hassan katika Matukio tofauti ya picha aliposhiriki uzinduzi wa Usafirishaji wa mizigo kwa treni ya SGR, Kuweka Jiwe la Msingi ujenzi wa Kongani ya Viwanda Kwala na Kuzindua Bandari kavu ya Kwala wakati wa Ziara Mkoani Pwani hii leo Julai 31, 2025.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *