PICHA: Mawaziri na Manaibu Waziri Msibani Monduli kwa Lowassa
Baadhi ya Mawaziri wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Manaibu Waziri wakiwa sehemu ya waombolezaji waliofika Kijiji cha Ngarash kilichopo Monduli mkoani Arusha kwa ajili ya mazishi ya hayati Edward Lowassa.