Picha: Makonda amlilia Magufuli

Mh. Paul Makonda ambaye ni Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi, CCM leo ametembelea kaburi la Hayati John P. Magufuli, lililopo Chato na kuweka heshima za mwisho lakini alishindwa kujizuia na kuangukwa na machozi. 

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *