Phyno akiri kushawishiwa kwenye uchawi

Rapa Phyno kutoka Nigeria ameweka wazi marafiki zake wazamani waliwahi kumshauri ajiunge na ibada za kishirikina iliaweze kuwa maarufu haraka na kuwa na mafanikio kwenye tasnia ya muziki.

Phyno, ameeleza hayo katika mazungumzo aliyofanya na Gazeti la Punch.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *