Nyota wa klabu ya Wydad Casablanca, Oussama Falouh (24) amefariki Dunia. Chanzo cha kifo chake kinatajwa kuwa ni kupata majeraha yaliyotokana na ajali ya gari aliyoipata wiki kadhaa zilizopita.

Call us on 0677 644 444 to submit your news story or incident report!
P. O. BOX 71, Shinyanga, Tanzania
+255 766 408 253
info@jambofm.co.tz