Nick atumia mil.510 kuwafurahisha watoto wake 12

Mtangazaji na muigizaji Nick Cannon, ameweka wazi kuwa ametumia kiasi cha Dola 200,000 sawa na Tsh/= 5,010,000,085.42 kuwapeleka watoto wake 12 mji wa Disney land uliopo California.

Cannon amesema hayo katika mahojoano aliyofanya hivi karibuni na kipindi cha The Breakfast Club.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *