Ngoma 60 anazosikiliza Messi mara nyingi

Mchezaji wa Inter Miami na Argentina  Leomessi ametaja ngoma 60 ambazo anazisikiliza mara nyingi wakati anafanya mazoezi kabla ya mechi


Messi amezitaja nyimbo hizo kupitia  mtandao wa Apple Music huku wasanii kama Bad Bunny, Drake, Rihanna , Rick Rossy na  wengineo wapo kwenye orodha yake.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *