NBC vs Bundesliga …

Mchezaji wa Congo DR Inonga ni Mchezaji wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania, katika klabu ya Soka ya Simba SC huku Sébastien Romain Teddy Haller ni mchezaji wa kulipwa ambaye anacheza kama mshambuliaji katika klabu ya Borussia Dortmund, ligi ya Bundesliga na timu ya taifa ya Ivory Coast.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *