Naira Marley achafua mji kisa Mohbad

Staa wa muziki kutoka Nigeria, Naira Marley ameachia wimbo wake uitwao ‘Wahala’ na wimbo huo umezua maneno kwa mashabiki baada ya kuonyesha hisia zake kwa msanii Mohbad ambaye amefariki.

Miezi michache iliyopita, Naira Marley  allingia matatani kutokana na kifo cha msanii huyo na kusababisha akae rumande kwa muda kadhaa.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *