Msaniiwa Nyimbo za Asili za Kabila la Wasukuma, Buhulu Lusafija amefariki

Msanii Maarufu wa Nyimbo za Asili za Kabila la Wasukuma Bhuhulu Lusafisha / Buhulu Lusafija mkazi wa Ngaya Wilaya ya Kahama amefariki dunia.

Taarifa zinaeleza kuwa Msanii Bhuhulu Lusafisha amefariki dunia siku ya Jumapili Novemba 26,2023 wilayani Kahama baada ya kuugua muda mrefu

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *