Msanii wa filamu, Mr. Ibu amefariki dunia

Taarifa kutoka nchini Nigeria muda huu zinaeleza kuwa Msanii wa filamu Mr, Ibu amefariki Dunia.

Muigizaji huyo alilazwa hospitali tangu mwishoni mwa mwaka 2023 na alifanyiwa operation ya kukatwa mguu ilikunusuru uhai wake.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *