Taarifa kutoka nchini Nigeria muda huu zinaeleza kuwa Msanii wa filamu Mr, Ibu amefariki Dunia.

Muigizaji huyo alilazwa hospitali tangu mwishoni mwa mwaka 2023 na alifanyiwa operation ya kukatwa mguu ilikunusuru uhai wake.
Call us on 0677 644 444 to submit your news story or incident report!
P. O. BOX 71, Shinyanga, Tanzania
+255 766 408 253
info@jambofm.co.tz