Meja Kunta afunguka alichotiwa BASATA

Msanii wa Singeli Meja Kunta amefunguka alichoitiwa BASATA ni maudhui ya video ya wimbo wake ‘Shuu’ ambao matamshi yake yanalenga watu wazima lakini waliotumika ni watoto.Meja Kunta amekiri kuwa sio kitu kizuri.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *