Mdundo mpya wa Jambo FM wazinduliwa

Mdundo mpya wa Jambo FM, umezinduliwa rasmi siku ya Jana (Septemba6,2023) katika kipindi cha The Booster. Mdundo huo umetengenezwa kwa ngoma asili ya wasukuma na kufanyiwa maboresho na maproducer wa kizazi kipya  Prez_beatz na Scardee7 

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *