‘Mbona kama game ya TZ, imestuck? Pendaneni’- Ray C

Mkongwe wa muziki nchini rAY c amewataka wasanii wa muziki Tanzania kupendana.

Ray C ametoa rai hiyo kupitia ukurasa wake wa Instagram baada ya kuweka video ya Tems na Ayra Starr wakiwa wanacheza muziki Pamoja.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *