Mahakama imeamua waendelee

Mahakama Imefuta Maamuzi ya Baraza Kuu la CHADEMA la kuwavua uanachama kina Halima Mdee na Wenzake 18 na hivyo wanaendelea kuwa Wanachama wa CHADEMA. Tena kwa mantiki hiyo wanaendelea kuwa Wabunge hadi 2025.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *