Mahakama Imefuta Maamuzi ya Baraza Kuu la CHADEMA la kuwavua uanachama kina Halima Mdee na Wenzake 18 na hivyo wanaendelea kuwa Wanachama wa CHADEMA. Tena kwa mantiki hiyo wanaendelea kuwa Wabunge hadi 2025.


Call us on 0677 644 444 to submit your news story or incident report!
P. O. BOX 71, Shinyanga, Tanzania
+255 766 408 253
info@jambofm.co.tz