Maduka yateketea kwa Moto

Moto mkubwa ambao chanzo chake haujafahamika unaendelea kuwaka na kuunguza duka la vifaa vya umeme katika mtaa wa Rwagasore, Karuta Jijini Mwanza. Na tayari Jeshi la zimamoto Mwanza, wamefika katika eneo la tukio na linaendelea na jitihada za kuzima moto huo

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *