Konde na Chui wakutana na Baba Levo Usiku

Usiku wa kuamkia leo, msanii wa muziki Baba Levo ameweka wazi kuwa alikutana na @harmonize_tz na kwa sasa amekuwa mtu poa sana.

“Jana nimekutana na konde boy amekuwa mtu safi sana sikuhizi..!!!
nadhani ipo haja ya kumuweka sawa na tajiri #LUKUGA mana ni kijana wake 😂😂😂😂,” ameandika Baba Levo.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *