Categories

Do you have a Story?

Call us on 0677 644 444 to submit your news story or incident report!

Kitaumana Diamond na Asake

Staa wa muziki Diamond Platnumz ni miongoni mwa wasanii watakaotumbuiza katika jukwaa la Afro Nation Ureno 2024 ifikapo Juni 26-28 ambapo ataungana na wasanii wengine ambao ni #Rema, #Asake, , #OmahLay , #Flavour , #SeyVibez # Tyla na wengineo.

Orodha hiyo ya wasanii imetajwa leo na tiketi za Tamasha hilo zitauzwa ifikapo Novemba 23, mwaka huu

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *