Kibegi cha Simba Sc kuwekwa makumbusho

Mapema leo klabu ya Soka ya Simba, ikiongozwa na Mjumbe wa Bodi ya Wakurugenzi, CPA(T) Issa Masoud wamezindua eneo maalum ndani ya Makumbusho ya Taifa @museumtanzania ambapo kumbukumbu zote za klabu ya Simba zimewekwa Pia taarifa zote za klabu hiyo ikiwemo tangu ilivyoanzishwa mwaka 1936.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *