Rapa Kendrick Lamar anatarajiwa kutumbuiza kwenye tamasha Global Citizen ifikapo Desemba 6, mwaka huu.
Tamasha hili ambalo lipo chini ya Move Afrika: litafanyika nchini Rwanda katika uwanja wa BK Arena ndani ya mji mkuu wa nchi hiyo, Kigali.

Call us on 0677 644 444 to submit your news story or incident report!
P. O. BOX 71, Shinyanga, Tanzania
+255 766 408 253
info@jambofm.co.tz