Kendrick Lamar kutumbuiza Rwanda

Rapa Kendrick Lamar anatarajiwa kutumbuiza kwenye tamasha Global Citizen ifikapo Desemba 6, mwaka huu.

Tamasha hili ambalo lipo chini ya Move Afrika: litafanyika nchini Rwanda katika uwanja wa BK Arena ndani ya mji mkuu wa nchi hiyo, Kigali.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *