Categories

Do you have a Story?

Call us on 0677 644 444 to submit your news story or incident report!

Jonas Mkude atambulishwa Yanga SC

Klabu ya Yanga SC imethibitisha kukamilisha usajili wa kiungo mkabaji Jonas Mkude ‘Nungunungu’ kwa uhamisho huru baada ya mkataba wake na Simba SC kufikia ukomo.

Mkude (30) raia wa Tanzania amesaini mkataba wa mwaka mmoja wa kuwatumikia Wananchi mpaka Juni 2024.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *