Categories

Do you have a Story?

Call us on 0677 644 444 to submit your news story or incident report!

JKT Queens kuwania Tuzo za CAF

Timu ya JKT Queens imechaguliwa kuwania kipengele cha klabu bora ya mwaka kwa wanawake kwenye Tuzo za CAF pia Ester Chabruma amechaguliwa kuwania kipengele cha kocha bora kwenye Tuzo za CAF.

Winfrida Gerald amechaguliwa kushindania tuzo ya mchezaji bora chipukizi kwenye Tuzo za CAF.

Pia Najiat Abass amechaguliwa kushindania tuzo ya kipa bora kwenye Tuzo za CAF.

Ville vile Timu ya Taifa ya Wanawake imechaguliwa kuwania tuzo ya timu bora ya mwaka kwenye Tuzo za CAF.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *