Rapa kutoka Marekani, J. Cole amemuomba radhi rapa Kendrick Lamar kwa kum-diss kwenye ‘7 Minute Drill”.
J. Cole alilazimika kukatiza kutumbuiza kwenye onyesho lake kwenye Tamasha la Dreamville la 2024 huko North Carolina siku ya jana Jumapili ili kumwomba Lamar msamaha.