Uongozi wa timu ya Ihefu imefikia makubaliano ya pande mbili ya kuvunja Mkataba na aliyekua Kocha wetu Mganda Moses Basena.
Ihefu hawajashinda mchezo wowote chini ya mwalimu Basena na kwenye mechi 8 za mwisho wamesare 4 na kupoteza 4

Call us on 0677 644 444 to submit your news story or incident report!
P. O. BOX 71, Shinyanga, Tanzania
+255 766 408 253
info@jambofm.co.tz