HERSI APEWA TUZO MOROCCO KUTHAMINI MCHANGO WAKE KATIKA SOKA

Rais wa Klabu yetu na Mwenyekiti wa Umoja wa Vilabu Afrika (ACA), Eng. Hersi Said amepata tuzo kutoka World Football Summit (WFS), ya kuthamini mchango wake wa kuunganisha Vilabu vya Soka Afrika.

Tuzo hiyo imetolewa wakati wa mkutano wa WFS, uliofanyika Jijini Rabat, Nchini Morocco.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *