CEO wa Konde Muisc Harmonize ameachia rasmi ngoma yake ya I made It aliyofanya na staa wa muziki kutoka Marekani Bobby Shmurda pamoja na Bienaimesol kutoka Kenya.
Video ya ngoma hii inatajwa tarai imeshafanyika huko Mareani ila kinachosubiriwa ni tarehe tu ya kuiachia kazi hiyo.
