Erasto Nyoni atua Namungo FC

Klabu ya Namungo FC imetangaza kumsajili aliyekuwa mlinzi wa Simba SC, Erasto Edward Nyoni, ikiwa ni siku moja tu baada ya kuachwa msimbazi.

Taarifa ya klabu hiyo imesema:”Tunayofuraha kuwataarifu kuwa Erasto Edward Nyoni amejiunga kuitumikia Timu yetu ya Namungo Fc akitokea Simba Sc.

“Karibu kwenye Familia ya Wauwaji wa Kusini Erasto Edward Nyoni”

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *