Staa wa muziki, Diamond Platnumz amemwagia sifa Kiongozi Mkuu wa Umoja wa Wanawake wa CCM Taifa (UWT) Jokate Mwegelo kwa kumuita “Jembe,Mbunifu,Mchapa kazi” wakati akimtakia Kheri ya kuzaliwa.


Call us on 0677 644 444 to submit your news story or incident report!