Carlo Ancelotti , Real Madrid na rekodi zao UEFA

Carlo Ancelotti ndiye meneja wa kwanza katika historia ya Kombe la Ligi ya Mabingwa Ulaya kutwaa kombe hilo mara tano.

๐Ÿ† 2003

๐Ÿ† 2007

๐Ÿ† 2014

๐Ÿ† 2022

๐Ÿ† 2024

Waakati mambo yakiwa hivyo kwa Ancelotti,Real Madrid wameshinda mataji mengi ya Kombe la Ulaya/Ligi ya Mabingwa yaliyoandaliwa kwa uratibu wa UEFA kuliko

โ—‰ Timu za Italia zikiungana pamoja ambazo jumala zimetwaa mara (12)

โ—‰ Timu za Ujerumani ambazo kwa pamoja zimetwaa mara (8)

โ—‰ Timu kutoka Uholanzi (6) na Portgual (6) ambazo zote kwa kwa pamoja zimetwaa mara sita sita kila moja

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *