Categories

Do you have a Story?

Call us on 0677 644 444 to submit your news story or incident report!

Burna Boy anunua gari mpya Bil 1.75

Staa wa muziki Burna Boy ana jeuri ya pesa kwa kuumaliza mwaka 2023 kwa kununua na kuongeza ndinga mpya aina ya Ferrari 812 GTS ambayo inauzwa kiasi cha Dola 700,000 ambayo ni sawa na zaidi ya TZS Bilioni 1.75.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *