Usiku wa kumkia leo staa wa Muziki, kutoka Nigeria Burna Boy ameibuka kidedea katika tuzo za Billboard Music Awards (BBMA) kama Top Afrobeat’s Artist.
Burna amewaburuza mastaa wengine kama Libianca,Rema, Tems na Wizkid

P. O. BOX 71, Shinyanga, Tanzania
+255 766 408 253
info@jambofm.co.tz