Usiku wa kumkia leo staa wa Muziki, kutoka Nigeria Burna Boy ameibuka kidedea katika tuzo za Billboard Music Awards (BBMA) kama Top Afrobeat’s Artist.
Burna amewaburuza mastaa wengine kama Libianca,Rema, Tems na Wizkid

Call us on 0677 644 444 to submit your news story or incident report!
P. O. BOX 71, Shinyanga, Tanzania
+255 766 408 253
info@jambofm.co.tz