Bruno Gomez amejiunga na Klabu inayoshiriki Ligi daraja la nne

Aliyekuwa Kiungo Mshambuliaji  wakutegemewa kabisa na klabu ya  Singida Fountain Gate,Bruno Gomez Barossa baada ya kutangaza kuchana na klabu hiyo wiki iliyopita rasmi  amejiunga na Klabu ya Athletic Club Futbol inayoshiriki Ligi daraja la nne nchini Brazil.

Bruno Gomez  alivunja Mkataba na Singida FG mwanzoni mwa wiki hii na sasa nakipika huko kwao.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *