Bien anusurika kifo

Msanii aliyekuwa anaunda kundi la muziki la Sauti Sol nchini Kenya, Bien Aime Baraza amepata ajali ya gari na kunusurika nchini Kenya.Msanii huyo ametoa taarifa ya ajali hiyo kupitia ukurasa wake wa mtandao wa instagram huku akidai ametoka salama.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *