Bei ya nywele ya Zuchu ni sawa na Boda Boda nne

Staa wa muziki kutoka Lebo ya WCB, Zuchu ameshare picha akionyesha risiti ya manunuzi ya nywele bandia katika Instastory yake ambayo amenunua kiasi cha Dola 4,500 ambayo ni sawa na TSh Milioni 11.2 pesa ambayo unaweza nunua boda boda (Piki piki).

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *