Mtangazaji na msanii wa muziki Baba Levo, ameweka wazi kupokea kichapo kutoka kwa mkewe Salma.
Baba Levo amebainisha hayo kupitia ukurasa wake wa mtandao wa Kijamii wa Instagram kwa kuandika โMAMA RUBY AMENIPIGA ๐ญ๐ญ๐ญ๐ญ๐ญ๐๐ผ.โ
Call us on 0677 644 444 to submit your news story or incident report!
P. O. BOX 71, Shinyanga, Tanzania
+255 766 408 253
info@jambofm.co.tz