Atlanta wampa heshima Davido 

Staa wa muziki kutoka Nchini Nigeria Davido, ametunikiwa siku yake ya Novemba 18, huko Mjini Atlanta katika Jimbo la Fulton, Georgia.

THE KELLY CLARKSON SHOW — Episode 7I007 — Pictured: Davido — (Photo by: Weiss Eubanks/NBCUniversal)

 Hii ni siku chache tu tangu nguli huyo wa muziki  kufanya Tamasha la #AWAY huko Atlanta katika ukumbi wa #StateFarmArena. Kwa mujibu wa Meya wa jiji la Atlanta amesema kuwa Atlanta imetambua umuhimu na mchango wa staa huyo katika kiwanda cha Burudani, hivyo wamemtunuku #DAVIDODAY.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *