Aliyemdunga sindano Mohbad sio muuguzi

Chama cha Kitaifa cha Wauguzi na Wakunga-Nigeria, kupitia Baraza la Jimbo la Lagos, leo hii wametoa taarifa kuwa mtu aliyeripotiwa kukamatwa kwa kumdunga sindano marehemu Mohbad si muuguzi aliyesajiliwa.

Chama hicho kimesema hayo kupitia vyombo vya habari, leo katika mkutano wao.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *