Usiku ya kuamkia leo ilikuwa ni kumbukizi ya kuzaliwa Miss Tanzainai 2006, Wema Sepetu na katika sherehe hiyo mama mzazi wa Wema aliwaita marafiki zake Wema, Hamisa Mobetto na Lulu Diva na kutaka wacheze muziki
Call us on 0677 644 444 to submit your news story or incident report!