Do you have a Story?

Call us on 0677 644 444 to submit your news story or incident report!

Albamu ya Jay Melody haina ngoma mbaya!

Ikiwa ni siku chache tu! tangu Jaymelody kutangaza ujio wa albamu yake mpya!! Mkali huyo wa Bongo Flava amebainisha kuwa katika albamu yake hiyo ambayo itatoka hivi karibuni hakuna ngoma mpya hata moja.


Jay ambaye anafanya poa kwenye ngoma ya ‘Mapoz’ amesema hayo kupitia instastory yake.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *