Categories

Do you have a Story?

Call us on 0677 644 444 to submit your news story or incident report!

Afariki Dunia akitokea Msibani

Mkazi wa Kijiji cha Mtimbwilimbwi katika Halmashauri ya Mji wa Nanyamba, mkoani Mtwara, Dadi Linyata amefariki dunia kwa kupigwa na radi akitokea msibani.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mtwara, ACP Nicodemus Katembo amethibitisha kutokea kwa kifo hicho na kuwasihi wananchi kuendelea kuchukua tahadhari hasa kipindi hiki cha mvua.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *