Adai kutuma pesa kwa Davido, kimakosa

Mwanaume mmoja nchini Nigeria, aliyetambulika kama Adeleke583, amedai kuwa amefanya muamala wa kaisi cha ₦ 500,000 ambao sawa na Tsh/= 1,558,603.38 kwenye akaunti ya David Adeleke, ambaye ni Davido.

THE KELLY CLARKSON SHOW — Episode 7I007 — Pictured: Davido — (Photo by: Weiss Eubanks/NBCUniversal)

Adeleke583 amedai kuwa muamala huo alikusudia kumtumia rafiki yake lakini kwa bahati mbaya amekosea tarakimu kadhaa na kwenda kwa staa huyo hivyo anaomba pesa hiyo arudishiwa.

“Nilikosea kutuma naira #500,000 kwenye akaunti yako ya Benki ya Wema na nambari hii ya akaunti: 0123044967. Hii ilitakiwa kutumwa kwa rafiki yangu ambaye pia anajulikana kwa jina la David Adeleke, Naomba anisaidie hela hiyo irudi.”

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *