Categories

Do you have a Story?

Call us on 0677 644 444 to submit your news story or incident report!

Kibu na Mzamiru wapigwa rungu la Bodi ya Ligi

Wachezaji wa klabu ya soka ya Simba SC , Kibu Denis na Mzamiru Yassin wametozwa faini ya Sh. 1,000,000 kila mmoja kwa kosa la kuondoa taulo la Kipa wa Coastal Union, Matampi litilokuwa limewekwa pembeni ya lango wakati mchezo ukiendelea, jambo lililoashiria imani za kishirikina.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *