Categories

Do you have a Story?

Call us on 0677 644 444 to submit your news story or incident report!

YouTube yafungia Channel ya kanisa la TB Joshua

Channel ya kanisa la kanisa kuu la muhubiri wa Nigeria marehemu TB Joshua,’Emmanuel TV’ imefungiwa na mtandao wa YouTube, kwa kile kinachotajwa kukiuka sera zake za matamshi.

Hali hii inakuja ikiwa ni wiki kadhaa baada ya uchunguzi wa BBC na OpenDemocracy kubainisha taarifa za unyanyasaji wa kingono na mateso yaliyokuwa yakifanywa na kiongozi huyo wa kanisa.

TB Joshua alifariki mwaka 2021, ambapoi Kanisa lake la Synagogue Church of All Nations (Scoan) sasa linaongozwa na mkewe Evelyn Joshua.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *